Nai Afunguka "Mwanaume Nitakaye Kuja Mpost Mtandaoni Kuwa ni Mpenzi Wangu Labda Aninunulie Ferari"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Nai

 MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva anayekuja kwa kasi, Hunai Ramadhani ‘Official Nai’ amesema kuwa mwanaume atakayetaka amposti labda amnunulie gari aina ya Ferari.

Akizungumza na RISASI VIBES, Nai ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Siyo Saizi Yao, amesema kuwa mpenzi atakayekuja kumuonyesha mitandaoni anatakiwa awe amefanya vitu vikubwa sana.


“Mpenzi nitakayekuja kumuonyesha inabidi awe amefanya vitu vikubwa sana kama ni nyumba awe amejenga ghorofa na kama ni gari basi awe amenunua Ferari ndiyo nitaweza kumposti lakini sioni faida ya kumuonyesha mtu ambaye ajanifanyia kitu kikubwa chochote,” alisema Nai

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad