Nay Wa Mitego kujiweka kwa mzungu wa Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram ambao anatumia msanii Nay Wa Mitego amem-post aliyekuwa mke msanii Harmonize, Sarah Michelotti huku akiuliza kama mwanamke huyo yupo 'single' ili usitokee ugomvi kati yake na Harmonize baada ya kuwa naye.

 

"Kwahiyo ndio kusema yupo single si ndio, baadae isije ooh umemchukulia mwenzio, na Valentine hii yupo mwenyewe, wahuni tunaulizaga kwanza maana hatutaki zengwe akaja kupigwa mtu bure" ameandika Nay Wa Mitego 

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Nay Wa Mitego ameuliza hivyo baada ya kuonekana kwa picha za Harmonize na Kajala Masanja ambao wapo kwenye mahusiano mapya kwa sasa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad