AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram ambao anatumia msanii Nay Wa Mitego amem-post aliyekuwa mke msanii Harmonize, Sarah Michelotti huku akiuliza kama mwanamke huyo yupo 'single' ili usitokee ugomvi kati yake na Harmonize baada ya kuwa naye.
"Kwahiyo ndio kusema yupo single si ndio, baadae isije ooh umemchukulia mwenzio, na Valentine hii yupo mwenyewe, wahuni tunaulizaga kwanza maana hatutaki zengwe akaja kupigwa mtu bure" ameandika Nay Wa Mitego
Nay Wa Mitego ameuliza hivyo baada ya kuonekana kwa picha za Harmonize na Kajala Masanja ambao wapo kwenye mahusiano mapya kwa sasa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK