Niva Marioo Amlipua Kajala 'Ninavyomjua Kajala Huwa Hadumu Kwenye Mahusiano, Yeye na Harmonize Nawapa Miezi tu' -VIDEO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo movie ambaye pia ni rafiki wa @kajalafrida @niva_supermariyoo ameeleza kuwa kwa yeye anavyomjua @kajalafrida huwa hadumu kwenye mahusiano na mahusiano yao na @harmonize_tz yeye anawapa miezi tu.


Mbali na hilo @niva_supermariyoo ameeleza kuwa wasanii wa Bongo movie wana shobo sana na wasanii wa Bongo Fleva na ndio maana wao wanapost/wasapoti nyimbo zao kwenye mitandao ila huwezi kumuona msanii wa Bongo Fleva anapost movie ya msanii wa Bongo movie.

Mtazame Hapa:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad