Nzige wahamia Siha na Simanjiro, Waziri afika eneo la tukio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Waziri wa Kilimo Prof Adolph Mkenda pamoja na Naibu waziri wa Kilimo wamefika Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na Simanjiro Mkoani Manyara baada ya nzige wa Jangwani kuhaminia maeneo hayo.
Prof Mkenda amesema nzige hao hawajaleta athari zozote nakuwataka wananchi kutokuwa na taharuki wakati wanalifanyia kazi suala hilo ikiwemo kutumia ndege kunyunyiza viatilifu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad