AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Kilimo Prof Adolph Mkenda pamoja na Naibu waziri wa Kilimo wamefika Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na Simanjiro Mkoani Manyara baada ya nzige wa Jangwani kuhaminia maeneo hayo.
Prof Mkenda amesema nzige hao hawajaleta athari zozote nakuwataka wananchi kutokuwa na taharuki wakati wanalifanyia kazi suala hilo ikiwemo kutumia ndege kunyunyiza viatilifu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK