AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni kama Dr. Dre ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingine mara baada ya ndoa yake na Nicole Young kutumbikia nyongo.
Mtayarishaji huyo mkongwe wa muziki ameonekana akiwa karibu sana na mwanadada aitwaye Apryl Jones ambaye ni baby mama wa Omarion, ambapo jana walitoka kupata chakula cha usiku kwenye mgahawa mmoja mjini West Hollywood, hivyo kuleta uvumi kwamba wanaweza kuwa kwenye mahusiano.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK