Rais Dk. Magufuli amfagilia Professor Jay

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ameufagilia na kuomba apigiwe wimbo ulioimbwa na Professor Jay na Stamina, wenye ujumbe unaomsema baba aliyeshindwa kutimiza majukumu yake kwa mtoto unaoitwa Baba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, akiutazama wimbo wa Professor Jay na Stamina

Rais Dk. Magufuli amebainisha kuvutiwa na mashairi ya wimbo huo leo Februari 25, 2021, Jijini Dar es Salaam, wakati akizindua jengo la Jitegemee na Africa Magic Group Limited.

"Mimi nataka muziki mmoja nafikiri umepigwa na Professor Jay, unazungumzia juu ya mtu aliyekwenda kumsema baba yake, akasema nazungumza na wewe sijui unaitwaje ?, huu wimbo una message (ujumbe)," alisema Rais Dkt.magufuli.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad