Rais Joe Biden wa Marekani Aomba Bunge Kubadili Sheria ya Ununuzi wa Silaha Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais Joe Biden wa Marekani jana ameliomba Bunge kufanyia mageuzi sheria ya ununuzi wa silaha Nchini humo, amesema hayo kwenye taarifa yake wakati wa kumbukumbu ya miaka mitatu tangu tukio la ufyatuaji risasi Shuleni Florida na lililosababisha vifo vya Watu 17.


Biden amewataka Wabunge kupitisha Sheria itakayowalazimu Wanunuzi wa silaha kuchunguzwa kwanza historia zao pamoja na kuzuia uuzwaji wa silaha za mashambulizi na zenye uwezo wa kuchukua idadi kubwa ya risasi.


Mshambuliaji kwenye tukio hilo la Parkland Nikolas Cruz, alikuwa na bunduki aina ya AR-15 wakati aliposhambulia Watu kwenye Shule ya Marjory Stoneman Douglas aliyokuwa akisoma, ingawa alikuwa akijulikana kuwa na tatizo la akili lakini bado alifanikiwa kununua silaha kihalali

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad