Rais Magufuli Ampongeza Babu Tale 'Alipoteza Mke lakini Hakukata Tamaa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Nampongeza sana Babu Tale, nawaomba mumpe support kwasababu Babu Tale bado Kijana na ni Mtu mwenye direction, ndio maana hapa hajaniomba vitu vingi, ameniomba Barabara na tutaishughulikia, siku nyingine ataomba kingine”

“ @Babutale wakati anajiandaa kuja kugombea alimpoteza Mke wake lakini hakukata tamaa akaja kugombea, sifahamu kama ameshaoa, kama bado Wasukuma wapo njoo uoe achana na Watani zangu Waluguru, kama mzigo mzito mpe Msukuma au Mnyamwezi wapo hapa Wasukuma”

“Hii kero ya Barabara iliyozungumzwa na Babu Tale tutaishughulikia, Tale ni Kijana ila anajiita Babu, utakosa Wanawake wewe unajiita Babu, Barabara ina Kilometres 78 ila naahidi tutaanza na Kilometa 40, hii Nchi Tajiri bwana hatuwezi kushindwa”—— Rais Magufuli akiwa Morogoro leo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad