AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ameivunja rasmi Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuanzia leo na kwa mamlaka aliyonayo na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuanzia leo, uamuzi huu umetangazwa jioni hii na Waziri Jafo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK