Rais Magufuli "Waziri Mpango Amelazwa Dodoma Hata Leo Asubuhi Ameniandikia Message, Amewaombea Msamaha Waliozusha Kifo Chake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais Dkt. @MagufuliJP amesema kuwa Waziri wa Fedha, Dkt. Philip Mpango anapatiwa matibabu jijini Dodoma na kwamba afya yake inaendelea kuimarika.

"Anafanya Mazoezi ya kifua amenitumia ujumbe huu"

Katika ujumbe wake kwa Rais Dkt. Magufuli, Dkt. Mpango amesema amewaombea msamaha wale wote waliozusha kuwa amefariki dunia.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad