AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Dkt. @MagufuliJP amesema kuwa Waziri wa Fedha, Dkt. Philip Mpango anapatiwa matibabu jijini Dodoma na kwamba afya yake inaendelea kuimarika.
"Anafanya Mazoezi ya kifua amenitumia ujumbe huu"
Katika ujumbe wake kwa Rais Dkt. Magufuli, Dkt. Mpango amesema amewaombea msamaha wale wote waliozusha kuwa amefariki dunia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK