Kupitia kituo cha habari cha Efm kimepost picha zinazomuonyesha Mkurugenzi wa kituo hicho @majizzo akivishwa pete na @elizabethmichaelofficial
Kwa maana hiyo huenda tukio la kufunga ndoa kati ya wawili hao ambao walisadikika walishafunga ndoa muda sana ndio limetokea hivi leo.
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments