Rasmi Majizzo na Lulu Micahel wafunga ndoa, Majizzo aongea maneno haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kupitia kituo cha habari cha Efm kimepost picha zinazomuonyesha Mkurugenzi wa kituo hicho @majizzo akivishwa pete na @elizabethmichaelofficial

Kwa maana hiyo huenda tukio la kufunga ndoa kati ya wawili hao ambao walisadikika walishafunga ndoa muda sana ndio limetokea hivi leo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad