Sakata la Mwanamuzi T.I na Mkewe Kuwanyanyasa Kingono Wanawake Lafikia Pabaya, Unaambiwa Sasa Wataburuzwa Mahakamani Kama R Kelly

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapa T.I. na mkewe Tiny Harris sasa huwenda wakaburuzwa mahakamani kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa kingono kwa wanawake, tuhuma ambazo zilitolewa na wanawake zaidi ya 25 wiki iliyopita.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE


Sasa mmoja kati ya wahanga hao ameenda mbali na kumtafuta mwanasheria maarufu na hodari aitwaye Lisa Bloom kwa ajili ya kusimamia kesi hiyo dhidi ya T.I. na mkewe. Lisa ametupasha kwamba "Good Lord. So many accusers. And now I represent one of them." aliandika mwanasheria huyo ambaye anasifika kwa kushinda kesi za masuala ya unyanyasaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya wanawake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad