AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri wa TAMISEMI, David Silinde amesema sio CCM iliyokwamisha mchakato wa Katiba Mpya, bali ni waliokimbia ndani ya Bunge sababu ya kukwama kwa hoja ya kutaka Serikali Tatu
Silinde ambaye awali alikuwa Kambi ya Upinzani amesema Serikali iliunda Tume ambayo ilishughulikia mchakato wa kukusanya maoni, lakini mambo yalipokuwa mazito upande wa upinzani ukaingia mitini
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
Ameongeza kuwa, Kambi ya Upinzani inatakiwa kujilaumu yenyewe na inapaswa kumuomba radhi Rais kwa kukimbia mjadala huo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK