Simba na African Lyon kukipiga leo kwa Mkapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku.
Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada ya kurithi mikoba ya Sven Vandenbroeck ambaye alitwaa taji hilo msimu uliopita. 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad