Simba "Tunakusudia Kufikia Nusu Fainali ya Mashindano"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Kuelekea mchezo wa Klabu bingwa barani #Afrika kati ya Simba na Al Ahly ya Misri, Msemaji wa Klabu hiyo, Haji Manara amesema Simba ina historia nzuri ya kushinda inapokutana na Al ahly katika Ardhi ya Tanzania


Mchezo huo ambao utapigwa siku ya Jumanne tarehe 23 Februari 2021 umebeba kauli mbiu ya 'TOTAL WAR , POINT OF NO RETURN'. Manara asema wanao uwezo wa kuwafunga kwasababu Simba hupenda mechi kubwa kama hizo


Amesema kuwa, 'target' yao ya chini ni kufika nusu fainali ya michuano hiyo. "Ni vita ya nje na ndani ya uwanja lazima tupate point 3. Wachezaji wanaenda kucheza kuwakilisha Simba, #Tanzania na ukanda wote wa Afrika Mashariki".


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad