Simba yakamatwa na Azam FC, Chama akosa penati

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Simba SC dhidi ya Azam FC umemalizika kwa sare ya 1-1, baada ya timu zote mbili kucheza kwa kushambuliana kwa kasi hususani kwa kupeana vipindi.


Simba walitangulia kwa goli la kipindi cha kwanza kutoka kwa Meddie Kagere dakika ya 38, ambalo lilidumu hadi mapumziko kabla ya Azam FC kurejea na kutawala mchezo.


Kipindi cha pili Azam FC waliwaingiza Mudathir Yahya na Yahya Zayd ambao walibadilisha mchezo na kupelekea Azam FC kupata goli la kusawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Idd Selemani na baadaye dakika ya 76 kuongeza goli la pili kupitia kwa Ayoub Lyanga.


Simba walisawazisha dakika ya 78 kupitia kwa Luis Miquissone, hivyo kufanya mchezo umalizike kwa sare ya 2-2.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Simba wamefikisha pointi 39 wakiendelea kubaki kwenye nafasi ya pili huku Azam FC wakifikisha pointi 33 katika nafasi ya tatu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad