Tanzia: Aliyepiga Picha Hii ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


#TANZIA mwandishi wa habari mkongwe, William Mbunga, aliyepiga Picha inayoonyesha tukio la Baba Wa Taifa Hayati Mwl. JK Nyerere akichanganya Udongo kuashiria Nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar kuungana Amefariki Dunia Februari 3, 2021.


Mzee William Mbunga alifariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa njiani akipelekwa hospitali ya Mloganzila,


 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

William Mbunga, pia ni mmoja wa waanzilishi wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha SJMC,


Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahala pema peponi, Amin


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad