AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
Sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.
Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?
Ahsanteni
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK