google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa | UDAKU SPECIAL

Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!

Sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.

Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi hii miziki yetu ipotee kizembe hivi.....ni asili yetu.

Vipi, alifanikisha kutoa album? imezinduliwa? imefanya vizuri?

Ahsanteni

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad