Tulifanya vipimo vya Corona kabla ya kwenda Angola, wanapewa vidonge, wakivimeza wanapata maumivu ya kichwa – M/Kiti Namungo asimulia (+Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa Namungo FC, Hassani Zidadu Kungu amesimulia sakata walilokutananalo nchini Angola na wenzao waliyobakia huko kutokana na kuzuiliwa, Gharama walizotumia kusafiria na hatma ya mechi zao za hapa Dar Es Salaam ambazo Shirikisho la soka barani Afrika CAF imewapangia michezo yote miwili dhidi ya CD 1 Agosto ya Angola. Mhe Kungu ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali na Waandishi wa habari hii leo wakati akiingia saini ya Mkataba mpya dhidi ya wadhamini wao SportPesa.

VIDEO:




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad