AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Namungo FC, Hassani Zidadu Kungu amesimulia sakata walilokutananalo nchini Angola na wenzao waliyobakia huko kutokana na kuzuiliwa, Gharama walizotumia kusafiria na hatma ya mechi zao za hapa Dar Es Salaam ambazo Shirikisho la soka barani Afrika CAF imewapangia michezo yote miwili dhidi ya CD 1 Agosto ya Angola. Mhe Kungu ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali na Waandishi wa habari hii leo wakati akiingia saini ya Mkataba mpya dhidi ya wadhamini wao SportPesa.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK