AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ingawa wameachana lakini inavyosemekana karibia baby mamas wote wa Diamond bado wanamtaka superstar huyo Bongofleva ila Diamond ndie bado hajaamua kutulia moja kwa moja na mwanamke mmoja hivyo Zari, Mobetto na Tanasha kuwa njia panda hata pale mmojawapo anapotaka kurudisha majeshi rasmi kwa Mond na ukiongezea drama za reja reja zinazotokeaga mitandaoni kati ya Mond na baby mamas wake hao.
Kiumjula ,Inadaiwa wanawake wote wa Mond wanapenda umaarufu wa kutrend mitandaoni kwa kuhusishwa na Mond huku Mond mwenyewe akiwa mtu wa matukio hata kama kwasasa wameachana
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
www.mrbunduki.com
ReplyDelete