Unaambiwa Wanaume Wapo Nyuma Katika Kupima Ukimwi Ndio Maana Wanaongoza Kufariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Leonard Maboko amesema Wanaume wapo nyuma kwenye upimaji na ambao wamepima na kubainika na maambukizi wamekuwa wakichelewa kuanza Dawa


Amesema, "Wanaume wapo nyuma katika kufubaza VVU ikimaanisha hawatumii Dawa za ARV vizuri na kwa sababu hiyo Takwimu zinaonesha Wanaume wanaongoza kwa vifo ikilinganishwa na Wanawake"


Dkt. Maboko amesema Wanawake wanapima na kuanza Dawa haraka hivyo hata vifo vinapungua, tofauti na Wanaume

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad