Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Leonard Maboko amesema Wanaume wapo nyuma kwenye upimaji na ambao wamepima na kubainika na maambukizi wamekuwa wakichelewa kuanza Dawa
Amesema, "Wanaume wapo nyuma katika kufubaza VVU ikimaanisha hawatumii Dawa za ARV vizuri na kwa sababu hiyo Takwimu zinaonesha Wanaume wanaongoza kwa vifo ikilinganishwa na Wanawake"
Dkt. Maboko amesema Wanawake wanapima na kuanza Dawa haraka hivyo hata vifo vinapungua, tofauti na Wanaume
Sikiliza Wimbo Hapo Chini Rosa Ree Aliyofanya na Waimbaji Undergroud, Ni Noma Diamond Ampa Big Up:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments