AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI, Dkt. Leonard Maboko amesema Wanaume wapo nyuma kwenye upimaji na ambao wamepima na kubainika na maambukizi wamekuwa wakichelewa kuanza Dawa
Amesema, "Wanaume wapo nyuma katika kufubaza VVU ikimaanisha hawatumii Dawa za ARV vizuri na kwa sababu hiyo Takwimu zinaonesha Wanaume wanaongoza kwa vifo ikilinganishwa na Wanawake"
Dkt. Maboko amesema Wanawake wanapima na kuanza Dawa haraka hivyo hata vifo vinapungua, tofauti na Wanaume
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK