Video: Koffi Olomide akitumbuiza wimbo wa Diamond kwa mara ya kwanza akiwa Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii Mkongwe kutokea Congo Koffi Olomide awashtukiza Mashabiki wake waliohudhuria show yake ya Usiku wa Rumba iliyofanyika usiku wa kuamkia February 12, kwa kuutumbuiza kwa mara ya kwanza wimbo alioshirikishwa na Diamond wa ‘Waah’

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Koffi alipoanza kutumbuiza wimbo huo alipata shangwe kutoka kwa Mashabiki wake walioamua kusimama na kucheza.. Bonyeza Play hapa chini kutazama.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad