AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Mkongwe kutokea Congo Koffi Olomide awashtukiza Mashabiki wake waliohudhuria show yake ya Usiku wa Rumba iliyofanyika usiku wa kuamkia February 12, kwa kuutumbuiza kwa mara ya kwanza wimbo alioshirikishwa na Diamond wa ‘Waah’
Koffi alipoanza kutumbuiza wimbo huo alipata shangwe kutoka kwa Mashabiki wake walioamua kusimama na kucheza.. Bonyeza Play hapa chini kutazama.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK