Wanafunzi wa Kike 300 Watekwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wanafunzi 300 katika Jimbo la #Zamfara lililoko Kaskazini Magharibu mwa Nigeria wametekwa nyara Ijumaa asubuhi baada ya shambulio


Msemaji wa Gavana wa Jimbo amethibitisha kutokea kwa shambulio hilo. Hili ni tukio la karibuni la utekaji unaowahusisha Watu wengi


Watu wenye silaha huwateka Wasichana wa Shule kwa ajili ya kupata fedha.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad