Wasafi Yapunguziwa Muda wa Adhabu na TCRA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) leo Feburuari 4, 2021, imesema imetafakari uamuzi wake wa kuifungia kwa muda wa miezi sita Wasafi TV  baada ya kituo hiko kuwasilisha maombi na vielelezo zaidi ikiomba mamlaka kupitia upya uamuzi uliotolewa.

 

Taarifa ya TCRA imeeleza, Wasafi TV iliwasilisha ushahidi kuonyesha endapo ushahidi huo ungewasilishwa wakati wa usikilizwaji, mamlaka isingeweza kutoa adhabu hiyo. Pia, walikiri kurusha matangazo mubashara kinyume na masharti ya leseni.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Wasafi TV itatumikia adhabu hadi mwisho wa mwezi huu Februari 28, 2021, na imetakiwa kuzingatia masharti ya leseni. Ikishindwa au kukaidi uamuzi, TCRA imesema hatua kali za kisheria zitachukuliwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad