google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Waziri Simbachawene Afanya Mazungumzo na Watendaji wa Kuu wa NIDA Dar | UDAKU SPECIAL

Waziri Simbachawene Afanya Mazungumzo na Watendaji wa Kuu wa NIDA Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akizungumza na Watendaji Wakuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuhusu masuala mbalimbali ya utendaji kazi. Kikao hicho kilifanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dk. Anorld Kihaule. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Watendaji Wakuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuhusu masuala mbalimbali ya utendaji kazi. Kikao hicho kilifanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dk. Anorld Kihaule. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Watendaji Wakuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuhusu masuala mbalimbali ya utendaji kazi. Kikao hicho kilifanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo. Wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dk. Anorld Kihaule. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad