Waziri wa zamani wa Marekani George P. Shultz afariki dunia akiwa na miaka 100

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



George P. Shultz, ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje kwa zaidi ya miaka 6 chini ya utawala wa Rais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan, ameaga dunia.

Katika taarifa iliyotolewa na Taasisi ya Hoover ya Chuo Kikuu cha Stanford, ambapo George P. Shultz alifanya kazi kwa miaka 30, ilielezwa kuwa Waziri huyo wa zamani amefariki akiwa na umri wa miaka 100 nyumbani kwake California.


Shultz, ambaye anachukuliwa kuwa mmoja wa waamuzi wakuu wa kidiplomasia wa Vita vya Baridi viliyotokea kati ya Umoja wa Kisovyeti na Marekani chini ya utawala wa Reagan, pia alikuwa Waziri wa Hazina na Kazi wakati wa rais Richard Nixon.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad