WHO 'Hatuna Takwimu Mpya za Maambukizi ya COVID 19 Kutoka Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema WHO haijapokea taarifa kutoka #Tanzania kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali kuhusiana na #COVID19


Tedros amesema hali hiyo inatia wasiwasi na ametoa wito kwa Serikali ya Tanzania kuanza kuratibu maambukizi na kutoa data kuhusiana na COVID-19 nchini humo


Tedros amesema mwishoni mwa Januari alishirikiana na Mkuu wa WHO barani Afrika, Matshidiso Moeti, katika kuihimiza Tanzania kuongeza hatua za kiafya dhidi ya COVID-19 na kujiandaa na mikakati ya kutoa Chanjo.

Source:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad