Alikiba, Harmoraba washikana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA







Kwa mara ya kwanza msanii Alikiba amekutana na Harmorapa kwenye siku ya mwisho ya kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli huko Wilayani Chato, Mkoani Geita.
Kupitia video ya hapo chini inaonyesha Alikiba amemshika mkono msanii Harmorapa huku akimuuliza baadhi ya maswali ambayo yalimfanya Harmorapa kuonekana mpole na kuogopa wakati anaulizwa.

Aidha baada ya kumshika mkono Harmorapa Alikiba amesema "Sema Mungu mkubwa maana Magufuli alikuwa kama zawadi kwetu, huyu naye ni msanii Harmorapa ndiyo maana yupo hapa, halafu Magufuli alikuwa sisi ndio marafiki zake".

Zaidi tazama hapo chini kwenye video kuona Alikiba na msanii wa filamu Dokii wakumuuliza maswali hayo Harmorapa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad