google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Beyonce Avamiwa na Majambazi, Waondoka na Mzigo wa Mabilioni | UDAKU SPECIAL

Beyonce Avamiwa na Majambazi, Waondoka na Mzigo wa Mabilioni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Beyonce ni muhanga wa tukio la uvamizi, avamiwa na kuibiwa vitu vyenye thamani ya ($1 million) takribani TSh. Bilioni 2. Kwa mujibu wa taarifa toka mtandao wa TMZ, wezi hao walifanikiwa kuvamia eneo/nyumba ambayo Beyoce huwa anahifadhia mali zake ikiwemo vito vya thamani mjini Los Angeles.


Imeelezwa, wezi hao walifika na kuiba zaidi ya mara mbili kwenye maghala hayo mwezi huu. Awamu ya kwanza, waliondoka na vitu kama pochi na magauni ya thamani. Awamu ya pili walirejea na kuiba pochi, midoli ya watoto na picha.


Eneo hilo limekodishwa na kampuni ya Beyonce iitwayo Parkwood Entertainment na hutumika kuhifadhia vifaa vya production na vitu vingine binafsi vya Beyonce. Polisi wanaendelea na uchunguzi na hadi sasa hakuna aliyekamatwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad