google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Breaking News: Bunge Lamthibitisha Mpango Kuwa Makamu wa Rais | UDAKU SPECIAL

Breaking News: Bunge Lamthibitisha Mpango Kuwa Makamu wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




ALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amethibitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Makamu wa Rais Mteule, kwa kupata kura zote 363 za ndiyo (sawa na asilimia 100) ya kura zote zilizopigwea na wabunge leo Machi 30, 2021, Bungeni jijini Dodoma.


Akitangaza matyokeo ya kura hizo, Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema tarehe ya kiapo cha uaminifu cha Makamu wa Rais kitafanyika mbele ya Jaji Mkuu, tarehe ambayo itapangwa baadaye.


Aidha, Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mpango sasa ubunge wake umekoma leo baada ya kupitishwa hivyo jimbo lake la Buhingwe, mkoani Dodoma alilokuwa akiliongoza liko wazi na uchaguzi utafanyika kulijaza.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad