Daily News yawasimamisha kazi watendaji wake kufuatia tangazo lililozua taharuki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imewasimamisha kazi Anitha K. Shayo ambaye ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Matangazo na Rajab Juma Mohammed ambaye ni Msimamizi wa Dawati la Huduma kwa Wateja
Wawili hao wamesimamishwa kazi ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma za kushindwa kuzuia makosa kwenye tangazo la Pongezi ambazo pia zilionesha kuwa ni salaam za rambirambi kwa kifo cha Rais Samia Suluhu walilotoa katika Gazeti la Daily News la Machi 29, 2021

Kipande cha sehemu ya tangazo hilo kilichosambaa mtandaoni kiliandikwa ‘Congratulation, The board of Director, Management and Staff of STAMICO join fellow Tanzanians in mourning the death of H.E President Samia Suluhu Hassan for being sworn in as the 6th president of United Republic of Tanzania’

Katika hatua nyingine, TSN wamesitisha huduma za mwakilishi wa kujitegemea wa matangazo, Lameck Samson
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad