AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Davido ameweka tofauti zake na Burna Boy pembeni, ampongeza kwa ushindi wake kwenye tuzo za Grammy mwaka huu. Pia hajamuacha Wizkid pale aliposema anawapongeza washindi wote toka Nigeria.
Kupitia tweet yake masaa machache yaliyopita, Davido amesema ushindi huu ni kwa taifa zima la Nigeria; "Kwa namna yoyote unavyotazama, huu ni ushindi kwa Nigeria, kwa tamaduni na watu wangu. Pongezi kwa washindi wetu." ameandika Davido.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK