DC Godwin Gondwe Aagiza Wanafunzi Kufukuzwa Shule Kwa Kujihusisha na Vitendo Viovu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkuu wa Wilaya ya Temeke ameagiza wanafunzi watatu wa Shule ya Msingi Toangoma kufukuzwa Shule kwa kosa la kujihusisha na vitendo viovu ambavyo ni kinyume na maadili


DC Godwin Gondwe ameeleza hayo na kutaka Uongozi wa Shule na Kata kuchukua hatua za haraka kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimetajwa kukithiri Shuleni hapo


Hivi karibuni imeripotiwa kuwa vitendo vya ngono vimekithiri katika Shule hiyo iliyopo Wilayani Temeke huku sababu mojawapo ikitajwa kuwa ni wingi wa Wanafunzi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad