google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Dismas Ten Hakuna kama Haji Manara | UDAKU SPECIAL

Dismas Ten Hakuna kama Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Afisa Habari wa zamani wa Yanga Dismas Ten amesema Afisa Habari bora kwenye vilabu vya soka Tanzania ni Hassan Bumbuli wa Yanga na Idrissa Bandari wa Ndanda FC.


Dismas Ten ambaye pia amewahi kuwa Afisa Habari wa Mbeya City amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo pia ameweka wazi kuwa kwa upande wa wasemaji hakuna kama Haji Mana wa Simba SC.



''Msemaji bora hakuna kama Haji Manara wa Simba SC haswa linapokuja suala la kuzungumza na kuhamasisha''.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad