AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diwani wa Kata ya Miembeni Manispaa ya Moshi (CCM), Mohamed Mushi na wananchi wake 12, wamenusurika kifo baada ya mfanyabiashara maarufu wa Moshi, Ibrahim Nyambacha kudaiwa kuwafyatulia risasi.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Ronald Makona amethibitisha kuwapo kwa tukio hilo, hata hivyo hakulizungumzia zaidi kwa madai ya kuwa nje ya ofisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK