google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Diwani, wananchi 12 wanusurika kuuawa Moshi | UDAKU SPECIAL

Diwani, wananchi 12 wanusurika kuuawa Moshi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Diwani wa Kata ya Miembeni Manispaa ya Moshi (CCM), Mohamed Mushi na wananchi wake 12, wamenusurika kifo baada ya mfanyabiashara maarufu wa Moshi, Ibrahim Nyambacha kudaiwa kuwafyatulia risasi.


Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Ronald Makona amethibitisha kuwapo kwa tukio hilo, hata hivyo hakulizungumzia zaidi kwa madai ya kuwa nje ya ofisi.  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad