Fahamu Ishara Au Dalili Endapo Una Ujauzito wa Mapacha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wakati una ujauzito wa mapacha, Mama anaweza kuongezeka uzito haraka sana kuliko akibeba Ujauzito wa Mtoto mmoja. Uchunguzi wa mara kwa mara wa Daktari unaweza kusaidia kujua ukuaji wa Mimba


Kusogea kwa Mtoto tumboni hutokea mapema sana wakati ukiwa na ujauzito wa mapacha kuliko mimba ya Mtoto mmoja


Ujauzito wa Mapacha huambatana sana na kukosa pumzi, hii ni kwasababu ya ukuaji wa mfuko wa uzazi unaobana mapafu hivyo kusababisha kuhisi kukosa hewa mara kwa mara


Nyonga kuuma ni ishara mojawapo ya ujauzito wa mapacha kwani kukua kwa mfuko wa kizazi kusio kwa kawaida husababisha nyonga kuuma kwani uzito unaongezeka na kukandamiza nyonga.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad