Harmonize, Kajala Wamuaga JPM Kirumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MSANII wa Bongo Fleva na C.E.O wa lebo ya Konde Gang Rajabu Abdul Kahali, maarufu Harmonize akiwa na mpenzi wake ambaye muigizaji wa Bongo Movie Kajala Masanja, wamehudhuria kwenye shughuli ya kuagwa kwa mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli leo Machi 24, kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

 

Hii ni mara ya pili kwa Harmonize kuaga mwili wa Dkt. Magufuli baada ya kufanya hivyo kwenye uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.



Wawili hao ambao penzi lao linaonekana kushamiri wameonekana kuwa karibu na kufuatana sehemu mbalimbali.

 

Mwili wa Dkt. Magufuli umeagwa leo na wakazi wa Mwanza ambao walijitokeza kwa wingi barabarani na kwenye Uwanja wa CCM Kirumba.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad