AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Samia Suluhu Hassan leo amefanya mabadili ya baraza la mawaziri ambapo amemteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mipango na Fedha akichukua nafasi ya Dr.Philip Mpango ambaye ameapishwa leo kuwa Makamu wa Rais.
Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Bashiru Ally Kakurwa ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Mbunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK