AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jennifer Lopez na mchumba wake Alex Rodriguez wamekanusha taarifa za kuwa wameachana, kama zilivyotolewa na mitandao mikubwa nchini Marekani Jana Jumamosi.
Kwenye taarifa waliyoitoa kwa pamoja kupitia mtandao wa Reuters, wamesema taarifa za kuachana kwao hazina ukweli wowote kwani kuna mambo wanayafanyia kazi, japo hawakusema ni yapi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK