Kanye West na Kim Kardashian hawazungumzi baada ya mchakato wa talaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kanye West na Kim Kardashian hawazungumzi baada ya mchakato wa talaka. Mtandao wa Page Six umeripoti kwamba hii imekuja baada ya Kanye kubadilisha namba yake ya simu na kumwambia Kim kwamba atakuwa akiwasiliana naye kupitia walinzi wake.


Chanzo kimoja kimeuambia mtandao huo kwamba Kanye (43) aliacha kuzungumza na Kim (40) hata kabla ya kuanza kwa mchakato wa talaka. Lakini licha ya utengano huo, wawili hao wameripotiwa kuwa wanaendelea kuwalea watoto wao Wanne kwa utaratibu wa pamoja yaani, Co-parenting.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad