Kauli ya Makonda Baada ya Kumuaga JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


K
ALIYEKUWA kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameonyesha kuumizwa zaidi na msiba wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, kupitia ukurasa wake wa instagram ambapo amesema kuwa bado anaamini amelala na hajafariki.



“Pamoja na kukuona jana bado moyo wangu unaamini umelala hujafa. Rafiki, kaka na Kiongozi wangu utakapo amka usingizi kuna jambo nitakwambia,” ameandika Makonda.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad