Kenya Yatangaza Kutopokea Mahindi Kutoka Tanzania na Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imedai uchunguzi umebaini kuwa mahindi yanayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya binadamu


Imedai kuwa, mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha sumu hasa aflatoxins na fumonisins ambazo zinajulikana kusababisha Saratani


Mamlaka hiyo imedai, Sumu hizo zimesababisha vifo vya Wakenya wengi kwa miaka, hali iliyosababisha wachukue hatua ya kuacha kupokea mahindi kutoka Tanzania na Uganda


Aidha, imesema wataendelea kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi wanazoshirikiana nazo kibiashara na wanasubiri kuona washikadau wakilizungumzia tatizo hilo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad