Kila nikikumbuka Sauti ya Dkt. Magufuli natoka machozi- Wastara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msanii wa Bongo Muvi Tanzania Wastara Leo afunguka namna alivyopokea kifo cha Hayati JPM akiwa Nyumbani kwake
 "Nakumbuka Mwaka 2018 Hayati JPM alinipigia simu nikiwa Nyumbani kwangu nikiwa sijiwezi Ni Mtu wa kulala Muda Wote nikiwa naugulia Mguu wangu".

Dkt.Magufuli Alinipa Moyo nizidi kumuomba mungu Ili anifanyie Wepesi nipone Haraka.

"Kila nikikumbuka Sauti ya Dkt. MAGUFULI natoka machozi maana Alikuwa anazungumza na mimi kama Baba yangu Mzazi".

"Ninachoniuma Zaidi Baadhi ya WASANII Wananichukia Nahisi ni kwa vile Viongozi wa Nchi yetu Wananisaidia kila ninapopata Matatizo"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad