Kumekucha... Hasara bilioni 60 Air Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali, Charles E. Kichere amesema Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) limetengeneza hasara ya shilingi bilioni 60 (60B) kwa mwaka na kwa kipindi Chote cha miaka ya nyuma shirika hilo limekuwa likitengeneza Hasara.



“Katika ukaguzi wetu wa mwaka 2019/2020 tumegundua Shirika letu la Ndege limetengeneza hasara mwaka huu ya Tsh.Bilioni 60 ila kwa miaka mitano pia limekuwa likitengeneza hasara, kuna changamoto ambazo Serikali inabidi iziangalie ili Shirika letu litekeleze majukumu yake vizuri”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad