M-Pesa na LATRA Waja na Tiketi Mtandao, Abiria kulipia nauli kwa simu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkuu wa Idara ya M-Pesa Biashara, Happiness Shuma akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa huduma ya Tiketi Mtandao, itakayowezesha abiria wa mabasi  ya masafa marefu kulipia nauli zao kielektroniki kupitia simu zao za mkononi kupitia App ya Tiketi Mtandao na pia kwenye menyu ya M-Pesa. Mkutano huo uliandaliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini  (LATRA).


Mkutano ukiendelea.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad