Majaliwa: Rais Magufuli Yuko Imara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, leo Ijumaa, Machi 12, 2021, amewataka Watanzania wote wawapuuze wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki juu ya Afya ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

 

Akizungumza mkoani Njombe, Majaliwa amesema; “Kuna wenzetu hawaishi hapa nchini, wao kazi yao ni kutuombea mabaya tu, kupandikiza chuki tu. Sasa unamuombea mwenzako kufa hiyo ni akili kweli? Nawatoa hofu Watanzania wote, Rais wenu yuko imara anafanya kazi zake kama kawaida za ofisini.

 

“Rais ana shughuli nyingi, Wanataka atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni tangu lini? Leo Asubuhi wakati nakuja huku nimeongea nae kwa simu na ameniagiza niwaambie wana njombe kuwa anawapenda sana na anawashukuru sana kwa kura nyingi mlizompigia,” mesema ajaliwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad