AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe kutoka kwa Malkia Elizabeth wa Uingereza pamoja na familia yote ya kifalme imetuma salamu za rambirambi kwa Tanzania.
Kupitia ukurasa wa Twitter, Malkia amesema yeye pamoja na Mwana mfalme Philip wamesikitishwa na taarifa ya kifo cha rais John Magufuli.
Na salamu zake za dhati ziende kwa wapendwa wake na raia wa Tanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK