Mariah Carey Afunguliwa Kesi na Kaka Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWANAMUZIKI wa miondoko ya Rnb Mariah Carey, amemfunguliwa kesi na kaka yake mkubwa kwenye mahakama kuu ya New York nchini Marekani akidaiwa kumdhalilisha kaka yake kwenye kitabu chake kinachofahamika kama The Meaning of Mariah Carey.

 

Kaka wa msanii huyo anataka alipwe dola milioni 1.25 sawa na Bil. 2 za Tanzania akimshtaki dada yake huyo kwa kumkashifu na kumsababisha matatizo ya akili kutokana na kumbukumbu yake alioandika kwenye kitabu chake.

 

Morgan Carey, ambaye anataka kulipwa kwa kuchafuliwa jina anasema kwamba kitabu hicho kinadai kwamba yeye anapenda vurugu.

 

”Kutokana na hilo amepata matatizo ya kiakili na kumuharibia sifa”, wamesema mawakili wake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad