Mkalimani: Sikusikia vizuri mitambo ya sauti yangu ilikuwa inakata

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mkalimani aliyekuwa akitafsiri hotuba za viongozi kwa lugha ya Kiswahili  wakati wa shughuli ya kitaifa ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli jijini Dodoma, aliyeibua hisia tofauti kwenye mitandao ya kijamii amesema kuwa hakusikia vizuri mitambo ya sauti.
Kauli hiyo ameitoa leo Machi 29 wakati akihojiwa katika kipindi cha leo tenda cha Clouds FM

“Kilichotokea ni mimi sikuweza kusikia vizuri mitambo ya sauti yangu ilikuwa inakata licha ya watu wengine kusikia vizuri” Matungwa Mutatina,

Nazungumza Kiswahili, Kingereza, Kifaransa, Kihaya, Kinyambo na Kisukuma jumla ni lugha sita ninazozungumza” Matungwa Mutatina, Mkalimani
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad