Monalisa Atangazwa Kuwa Msemaji wa Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Machampioni watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara Simba Queens, wamemtangaza rasmi Msanii nguli wa filamu Bongo, Monalisa kuwa Msemaji wa timu hiyo.


Mlezi wa Simba Queens, Fatema Dewji amemtambulisha muigizaji huyo mashuhuri katika tasnia ya Filamu nchini na mwenye mafanikio makubwa kwenye upande huo kuwa Msemaji wa timu hiyo.


”Mlezi wetu Fatema Dewji (@fatemagdewji) amemkaribisha rasmi Monalisa (@monalisatz) kama msemaji wa simba queens tunaimani Monalisa atafanya kazi nzuri katika kueneza taarifa zote zinazohusiana na @simbaqueensctanzania kwenye jamii yetu.

Kwa uzoefu wa Monalisa tunaimani atakwenda kuwa msemaji bora wa timu yetu na uzoefu wake aliokua nao katika jamii. Karibu Simba Queens Msemaji Wetu 👸🦁 @monalisatz ,” imeeleza taarifa hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad